Mkutano wa dharura wa baraza hilo
umeunga mkono wito wa kusitisha mapigano kufuatia Sikukuu ya Idd El
Fitri na hata baada ya siku kuu hiyo.
Hapo jana Israeli na Wapiganaji wa
Palestinia hapo jana wameendelea na mapigano licha ya kauli ya
kusitisha mapigano kwa saa 24 uliotangazwa na Hamas.
Zaidi ya Wapalestina 1,030 wengi wao
wakiwa ni raia wamekufa, ambapo pia wanajeshi 43 wa Isareli wameuwawa
pamoja na raia wawili.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni