Wanajeshi wa Cameroon wakiwa wameeimarisha ulinzi mpakani
Jeshi la Cameroon limesema
wapiganaji wa Boko Haram wamemteka mke wa Naibu Waziri Mkuu wa nchi
hiyo kaskazini mwa Cameroon katika mji wa Kolofata.
Katika utekaji huo kiongozi mmoja wa
kidini pamoja na meya pia walitekwa katika mji huo na kundi la Boko
Haram.
Katika tukio jingine, watu watano
wameuwawa kaskazini mwa Nigeria katika mlipuko unaodaiwa kulipuliwa
na kundi la Boko Haram.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni