Kiungo wa zamani wa Chelsea Frank
Lampard amejiunga na klabu ya ligi kuu ya Marekani ya New York City
FC kwa mkataba wa miaka miwili.
Lampard, ameruhusiwa na Chelsea
mwishoni mwa msimu ulioisha baada ya kukaa kwenye timu hiyo kwa muda
wa miaka 13.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni