Wapalestina wawili wamekufa katika
maandamano yaliyotokea katika ukanda wa Magharibi wakati wa
maandamano ya kupinga harakati za majeshi ya Israeli huko Gaza.
Waandamanaji 10,000 waliandamana
kutoka Ramallah kuelekea Mashariki wa Jerusalem, kabla ya kukutana na
vikosi vya Israeli na kukabiliana nao.
Katika mapambano hayo watu 200
walijeruhiwa, wakati vifo vya Gaza navyo vikifikia Wapalestina 800 na
Waisraeli 33 tangu Julai 8, mwaka huu.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni