Meneja wa Shamba la Kahawa la AVIV Farm
linalomilikiwa na kampuni ya Olam Bwana Medappa Ganapati akimuonesha
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mche bora wa kahawa iliyozaa vyema
wakati Rais alipolitembelea na kukagua shamba la kahawa katika kijiji
cha Lipokela, wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua Soko la Kimataifa la Mkenda lililopo katika kijji cha Mkenda Mpakani mwa Msumbiji na Tanzania leo.kulia ni mbunge wa Peramiho Mh.Jenister Mhagama.Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi Mkoani Ruvuma.
Sehemu ya Soko la Kimataifa la Mkenda lililopo katika kijji cha Mkenda Mpakani mwa Msumbiji na Tanzania leo.Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi Mkoani Ruvuma. (Picha zote na Freddy Maro).
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni