
Miili ya mabaki ya abiria iliyopatikana katika ndege ya Malaysia iliyodunguliwa Ukraine wiki iliyopita itasafirishwa kwa ndege hadi Uholanzi kwa ajili ya zoezi la utambuzi.

Wakati huo huo Wapelelezi wa Marekani wamesema wanaamini waasi wanaoungwa mkono na Urusi waliidungua ndege hiyo kwa makosa.
Hata hivyo hakuna ushahidi wa moja kwa moja uliobainika kuhusiana Urusi kuhusika na tukio hilo.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni