.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Julai 2014

MABAKI YA MIILI YA ABIRIA WA MH17 KUSAFIRISHWA HADI UHOLANZI


Miili ya mabaki ya abiria iliyopatikana katika ndege ya Malaysia iliyodunguliwa Ukraine wiki iliyopita itasafirishwa kwa ndege hadi Uholanzi kwa ajili ya zoezi la utambuzi.


Wakati huo huo Wapelelezi wa Marekani wamesema wanaamini waasi wanaoungwa mkono na Urusi waliidungua ndege hiyo kwa makosa.
Hata hivyo hakuna ushahidi wa moja kwa moja uliobainika kuhusiana Urusi kuhusika na tukio hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni