.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 24 Julai 2014

MADAKTARI NCHINI INDIA WATOA MENO 232 KWENYE KINYWA CHA KIJANA MMOJA NCHINI HUMO

Madaktari nchini India wamepigwa na butwaa baada ya kutoa meno 232 kwenye kinywa cha kijana mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka 17, katika operesheni iliyodumu kwa muda wa saa saba.

Kwa mujibu wa Dk. Sunanda Dhiware kijana huyo Ashik Gavai alifika hospitali na uvimbe kwenye taya lake la kulia, na walipoupasua uvumbe huo ndipo walikuta meno hayo mengi ambayo yameweka rekodi duniani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni