.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Julai 2014

MAHAKAMA YA MAREKANI YAAMURU KUTEKELEZWA HUKUMU YA KIFO KWA MFUNGWA

Mahakama ya Juu nchini Marekani imeruhusu kutekelezwa kwa hukumu ya kifo huko Arizona, kwa mfungwa aliyetaka kupewa maelezo ya dawa itakayotumika kumuua.

Hukumu ya Joseph Wood's ilipangwa kutekelezwa Julai 23, lakini alipinga serikali ya jimbo kukataa kutaja dawa itakayomua ni kukiuka haki zake.

Wood alitiwa hatiani mnamo mwaka 1989 kwa kumuua rafiki wake wa kike Debra Dietz na baba wa rafiki yake huyo Eugene Dietz.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni