.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Julai 2014

JIJI LA NAIROBI LAONGOZA KWA KUWA NA IDADI KUBWA YA MAAMBUKIZI YA UKIMWI

Takwimu za Wizara ya Afya ya Kenya zinaonyesha Jiji la Nairobi linaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi.

Idadi ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi katika Jiji hilo ni 177,552, na kuongoza katika kaunti zote 47 za Kenya.

Takwimu hizo zinaonyesha kuwa watu 800,000 wenye virusi vya Ukimwi wanaishi katika kaunti 10, na kwa ujumla Kenya inawatu milioni 1.6 wanaoshi na virusi vya Ukimwi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni