.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Julai 2014

REAL MADRID YAMTAMBULISHA JAMES RODRIGUEZ BAADA YA KUMTWAA

Real Madrid imemtambulisha mchezaji wao waliomnunua kwa paundi milioni 60, James Rodriguez baada ya kukamilisha uhamisho na nyota huyo aliofanya miujiza katika Kombe la Dunia anayechezea Monaco.

Nyota huyo wa Kimataifa wa Colombia amekubali mkataba wa miaka sita na Madrid na amefanyiwa vipimo vya afya hao jana asubuhi na baadae kuonyeshwa kwa kundi la mashabiki katika dimba la Santiago Bernabau.

Rais wa Klabu ya Real Madrid, Florentino Perez alimkaribisha mshambuliaji huyo na kumlinganisha na mkongwe wa enzi hizo Alfredo Di Stefano ambaye naye alijiunga na Madrid akitokea Colombia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni