Hata hivyo katika mbio hizo shujaa
alikuwa kijana wa miaka 17 kutoka kisiwa cha Solomon Rosefelo Siosi ambaye alimaliza mbio
hizo wa mwisho ikiwa ni dakika tisini kupita baada ya wenzake
kumaliza mbio hizo.
Siosi hakukakata tamaa aliendelea
kukimbia mbio hizo huku akishangiliwa na watu hata baada ya
wanariadha 23 kumaliza mbio hizo, na kufanikiwa kuweka rekodi ya
taifa lake na kupata umaarufu wa ghafla katika michuano hiyo.
Rosefelo Siosi akimaliza mbio hizo wa mwisho


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni