Waziri Mkuu wa Uholanzi Mark Rutte
amesema uamuzi wa kupeleka wanajeshi wa kimataifa katika eneo
ilipoanguka ndege ya Malaysia mashariki Ukraine ni jambo
lisilowezekana.
Eneo hilo kwa sasa lipo mikononi mwa
wapiganaji wanaoungwa mkono na Urusi, ambao wanatuhumiwa kwa
kuidungua ndege ya MH17, na kuua abiria wote 298.
Mabaki ya Ndege ya MH17
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni