Waziri Mkuu, Mh Mizengo Pinda akizungumza katika mazishi ya Mhadhiri wa zamani wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam na Chuo Kikuu cha Tumaini, Dr, Irenius Joseph Kapiri, nyumbani kwa Marehemu, Mbezi Maramba Mawili jijini Dar es salaam Julai 28, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waomboleaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mhadhiri wa zamani wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam na Chuo Kikuu cha Tumaini, Dr, Irenius Joseph Kapiri, katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Marehemu, Mbezi Maramba Mawili jijini Dar es salaam Julai 28, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni