Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Waislamu wa Afrika Mashariki na Kati baada kumaliza sherehe za Baraza la Idd liloandaliwa na uongozi huo. Baraza hilo limefanyika Brussels leo. Kushoto kwa Balozi Kamala ni Mhe.Hassan Karera Mwenyekiti wa chama hicho.
Jumanne, 29 Julai 2014
BALOZI KAMALA ASHIRIKI BARAZA LA IDD EL-FITR LA WAISLAMU WA AFRICA MASHARIKI NA KATI WANAOISHI UBELGIJI
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Waislamu wa Afrika Mashariki na Kati baada kumaliza sherehe za Baraza la Idd liloandaliwa na uongozi huo. Baraza hilo limefanyika Brussels leo. Kushoto kwa Balozi Kamala ni Mhe.Hassan Karera Mwenyekiti wa chama hicho.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni