Mafuriko hayo yamefikia kina cha
futi moja katika baadhi ya maeneo, huku kikosi cha zima moto Essex
kikiokoa watu katika nyumba zilizozingirwa maji, huku barabara nazo
zikikatika na kuporomoka.
Katika mji wa Brighton radi imepiga
katika miundombinu ya reli na kusababisha adha ya usafiri, na kukata
umeme huku madereva wakipata shida kusafiri barabarani.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni