Dereva wa basi la shule ya Booker Acadmy amejeruhiwa baada ya basi dogo alililokuwa akiendsha kupoteza muelekeo na kupinduka korongoni huko Chempsangori katika barabara ya Kapsabet-Kisumu.
Kwa mujibu wa maofisa wa chama cha msalaba mwekundu, abiria wengine waliokuwa katika gari hilo walikimbizwa katika hospitali ya Nandi Hill kwa matibabu zaidi.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni