Maofisa wa polisi nchini Kenya wametoa tahadhari ya uwezekano wa kufanyika kwa mashambulizi toka kwa magaidi wanaoisakama nchi hiyo.
Taarifa toka kwa vyombo vya usalama vimesema wahusika hao wanapata mafunzo nchini Somalia.
Hivi sasa ulinzi umeimarishwa katika mipaka ya nchi hiyo pamoja na viwanja vya ndege.
Maofisa usalama wamelekezwa kuwakagua kwa umakini mkiubwa watu wanaoingia nchini Kenya wakitokea Somalia, Sudan na Jamuhuri ya Kidmokrasi ya Kongo
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni