.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 9 Agosti 2014

KUNDI LA WANAMGAMBO LA ISIS LAIONYA MAREKANI

Kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Marekani nchini Iraq, mashambulizi ambayo yaliwalenga wanamgambo wa kiislam wa kundi la ISIS, kundi hilo limeionya Marekani. 

Katika taarifa yao kupitia mitandao ya kijamii, kundi la ISIS limesema kuwa litawashambulia raia wa Marekani kwasababu ya taifa hilo kufanya mashambulizi yake nchini Iraq.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni