.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 6 Agosti 2014

DAWA YA EBOLA YA MAJARIBIO YAONYESHA DALILI ZA KUPONYA UGONJWA HUO

                          Daktari wa Marekani Nancy Writebol akiwa na watoto Liberia
 
Madaktari wawili wa Marekani walioambukizwa ugonjwa hatari wa Ebola huko Liberia, afya zao zimeanza kuimarika baada ya kupatiwa dawa ya majaribio ya ugonjwa huo.

Hata hivyo haikowazi iwapo dawa hiyo Zmapp, ambayo ilifanyiwa majaribio kwa nyani, ndio iliyosaidia madaktari hao kupata nafuu.

Ugonjwa wa Ebola uliolibuka katika nchi za Afrika ya Magharibi mwezi Februari umeshauwa watu 887 hadi sasa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni