.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 6 Agosti 2014

HOMA YA EBOLA YAPIGA HODI SAUDI ARABIA, RAIA WAKE MMOJA AFARIKI MJINI JIDDAH KWA UGONJWA HUO

Wizara ya afya ya Saudi Arabia imethibitisha mtu mmoja raia wa nchi hiyo aliyekuwa mgonjwa na baadaye kuthibitishwa kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Ebola amefariki dunia akiwa hospitali mjini Jiddah, Saudi Arabia. 

Taarifa ya wizara hiyo ya afya imesema kuwa, mgonjwa huyo mwanaume amefariki jumatano asubuhi. 

Inasemekana alikuwa nchini Sierra Leone kabla ya kurejea Saudi Arabia, ambako alionyesha kuwa na dalili zote za ugonjwa huo ambao hivi sasa unaendelea kuua watu wengi katika nchi za Afrka Magharibi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni