.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 5 Agosti 2014

JESHI LA NIGERIA LADAIWA KUFANYA MAUAJI YA KIKATILI

Shirika la Amnesty International limesema Jeshi la Nigeria limefanya mauaji ya kikatili kaskazini mashariki wakati likipambana na wapiganaji wa kiislam wa Boko Haram.

Shirika hilo limesema kuna ushahahidi wa picha za kutisha na za kinyama zikiwemo zile zinazodaiwa kuonyesha wanajeshi wakiwachinja watu waliokamatwa.

Mamlaka za Nigeria zimesema unyama kama huo hauruhusiwi jeshini na zimeahidi kuchunguza tukio hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni