Mwanamuziki Kelly Rowland ( 33 ) ambaye anatarajia kujifungua mtoto hivi karibuni akiwa na mumewe Tim Witherspoon amekuwa akifanya mazoezi mara kwa mara pamoja na kuwa mjamzito ili kuuweka mwili wake katika hali nzuri.
Mwanamuziki huyo nyota wa kundi la zamani la Destiny's Child amekuwa na mumewe Tim toka mwaka 2011 na walifunga pingu za maisha katika harusi iliyokuwa na usiri nchini Costa Rica May 09' 2014.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni