Wapiganaji wa Kislam wa kundi la IS
wamekuwa wakifanya unyama wa kupitiliza dhidi ya raia ambapo baadhi
ya picha zinaonyesha watu wakiwa wameuwawa kwa kusulubiwa msalabani.
Wapiganaji hao wenye lengo la
kuanzisha taifa la Kiislam wametoa muda hadi leo kwa watu wa kabila
dogo la Yazidi kujiunga na uislama ama watauwawa wote.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni