.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 10 Agosti 2014

ARSENAL YAJITOSA KUCHUANA NA MANCHESTER UNITED KUMNASA BEKI MATS HUMMELS

Timu ya Arsenal ipo tayari kuchuana na Manchester United kumtwaa beki wa katika Mjerumani, Mats Hummels.

Hadi sasa Manchester United wameshindwa kukubaliana dau la paundi milioni 25 lililowekwa na timu yake ya Borussia Dortmund.

Arsenal, inaweza ikakamilisha kutoa kitita hicho na kumtwaa Hummels, baada ya kupata fedha walizomuuza Thomas Vermaelen kwenda Barcelona siku ya jumamosi.

Manchester United pia inatarajia kunasa saini ya Juan Cuadrado mwishoni mwa wikii hii.
                                   Juan Cuadrado (kushoto) akichuana na Marcelo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni