.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 10 Agosti 2014

RAIS OBAMA AAPAKA KUWAOKOA MAELFU YA RAIA NCHINI IRAK DHIDI YA KUNDI LA IS

Marekani imeendelea kufanya mashambulizi ya anga pamoja na kudondosha misaada nchini Irak, wakati Rais Barack Obama akiapa kusaidia kuwaokoa maelfu ya raia waliozingirwa na wapiganaji wa kundi la Taifa la Kiislam (IS) kwenye mlima Sinjar.

Rais Obama ametoa ratiba ya operesheni ya jeshi la Marekani nchini Irak, tangu kundi la mwisho la Marekani kuondoka nchini humo miaka mitatu iliyopita, na kuitaka serikali ya Irak kuunda serikali ya umoja wa kitaifa na kuwadhibiti wapiganaji wa vita vya jihadi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni