.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 3 Agosti 2014

KYLIE MINOGUE, LULU, DEACON BLUE KUTUMBUIZA SHEREHE ZA KUFUNGWA MICHUANO YA MADOLA LEO

                                                                              Kylie Minogue

Kylie Minogue, Lulu, Deacon Blue pamoja na watumbuizaji wengine zaidi ya 2,000 baadae leo watafunga kwa burudani michuano ya Jumuiya ya Madola ya mwaka 2014 inayofanyika huko Glasgow.

Watu wapatao 40,000 watashuhudia sherehe za dakika 90 za kufungwa michuano hiyo katika uwanja wa Hampden Stadium, huku mamilioni wengine wakitazama kupitia runinga zao.

Waandaaji wamesema kuwa kauli mbiu ya shoo hiyo ni "All Back To Ours", huku ikielezea uhalisia wa Glasgow nyakati za usiku.
                                                                       Kundi la Deacon Blue

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni