Timu ya Liverpool imemaliza michezo
yake ya kujinoa kwa ajili ya msimu wa Ligi Kuu ya Uingereza kwa
kishindo baada ya kuifunga timu ya Borussia Dortmund kwa mabao 4-0.
Katika mchezo huo mchezaji Liverpool
Mbarazil Philippe Coutinho, alionyesha kiwango cha hali ya juu,
ambapo mabao yaliwekwa kimiani na Sturridge, Lovren, Coutinho pamoja
na Henderson.
Sturridge akishangilia bao lake kwa kucheza



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni