.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 11 Agosti 2014

MAKUBALIANO MAPYA YA KUSITISHA MAPIGANO KWA MUDA WA SIKU TATU YAANZA HUKO GAZA

Makubaliano mapya ya kusitisha mapigano kwa muda wa siku tatu baina ya Israel na kundi la Hamas huko Gaza yanaanza utekelezaji wake leo.

Makubaliano hayo yalioanzia saa sita usiku wa jumapili, yamekuja baada ya siku kadhaa za majadiliano ya upatanishi.

Iwapo makubaliano hayo yataheshimiwa Israel itatuma ujumbe wake Jijini Cairo hii leo kwa ajili ya kujadiliana kusitisha kabisa mapigano hayo yaliyosababisha vifo vya watu 2,000 tangu yaanze Julai 8.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni