Vikosi vya ulinzi vitiifu kwa Waziri
Mkuu wa Irak Nour Maliki vinaranda randa katika Jiji la Baghdad
baada waziri huyo kwenda kwenye televisheni ya taifa kumkosoa rais.
Maliki ambaye anawania kuchaguliwa
kwa awamu ya tatu, anakabiliwa na wito wa kumtaka ang'atuke
madarakani kutokana na harakati za waislamu eneo la kaskasini.
Marekani ambayo imeiomba Irak kuunda
serikali ya kitaifa, na kutoa kauli ya kumuunga mkono rais Faud
Masum.



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni