.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 22 Agosti 2014

MAFAILI YA ARDHI 125,574 YALIYOPOTEA MJINI MOMBASA NA KILIFI NCHINI KENYA YAPATIKANA

                            Waziri wa Ardhi Charity Ngilu akikagua mafaili ya ardhi

Takribani mafaili 125,574 ya ardhi yaliyopotea mjini Mombasa na Kilifi yamepatikana katika wiki tatu ya upangaji na usafi katika mashubaka.

Waziri wa Ardhi wa Kenya Bi. Charity Ngilu amesema mafaili hayo yaliyokuwa yamepotea yamesababisha kuchelewa kwa kesi katika Mkoa wa Pwani.

Akiongea Mjini Mombasa Ngilu ametangaza kuwa wakazi waliokatika makazi yasiyorasmi katika hekari 930 kwenye shamba la Waitiku watapewa ardhi na kupewa hati za viwanja.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni