.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 9 Agosti 2014

MAREKANI YAFANYA MASHAMBULIZI NCHINI IRAQ

 Marekani imefanya mashambulizi katika maeneo yanayoshikiliwa na waasi wa kundi la ISIS nchini Iraq ikiwa ni hatua yake ya kuwalinda raia wa Marekani waliopo katika maeneo hayo. 

Mashambulizi hayo yamefanywa jana na ndege za kivita za Marekani ambapo zilishambulia vifaru vya wanamgambo hao wa Kiislam ambao hivi sasa wanashikilia eneo kubwa nchini Iraq.

Wanamgambo hao wamekuwa wakifanya mauaji ya mara kwa mara kwa raia, na hivi sasa wamewafanya raia ambao ni wakristo kukimbia makazi yao kufuatia hatua yao ya kutaka kuwashambulia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni