.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 9 Agosti 2014

STAA YEMI ALADE AFUNIKA TAMASHA LA MATUMAINI UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM


Staa kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade akipiga shoo usiku huu katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.

 Yemi Alade akiwapagawisha maelfu ya mashabiki waliofurika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana katika tamasha la matumaini
                                                                          Tumekukubali, wewe mkali Alade
                                                                    Picha kwa hisani ya Global Publishers Ltd

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni