Naibu Waziri wa Maji, Mheshimiwa Amos Makalla, anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Mzee Gabriel Makalla kilichotokea usiku wa kuamkia leo 02 Aug 2014 jijini Dar es Salaam.
Mipango ya mazishi inafanyika Palm Resdident/Ocean Road namba 18E Dar es Salaam.
Mwili wa marehemu utaagwa kesho jumapili saa sita mchana Azania Front na maziko yatafanyika jumatatu 04 Aug 2014 Kidudwe Mvomero
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni