Kikosi cha Zesco.

Ramadhani Singano 'Mess' akiwatoka wachezaji wa Zesco.
Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera (kushoto), akimtoka beki wa Zesco United ya Zambia, Bernad Mapili katika mchezo maalumu wa kirafiki wa kimataifa wa Simba Day uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Zesco ilishinda 3-0.
Golikipa wa Zesco, Lameck Nyangu akiokoa moja ya hatri zilizoelekezwa langoni mwake.
Amis Tambwe akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Zesco, Bernad Mapili.
Mshambuliaji wa Ismba, Issa Rashid akichuana na beki wa Zesco.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni