Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu
akihutubia mkutano wa hadhara uliofabyika kwenye Uwanja wa shule ya
Sokoine, Temeke jijini Dar es Salaam, jana.
Mtemvu akishangiliwa wakati
akihutubia mkutano huo wa hadhara.
Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu akimpa
kadi ya Uanachama wa UWT Maridha Rajabu wakati wa mkutano huo,
wanachama wapya 45 wa jumuia hiyo walipewa kadi.
Mbunge wa Temeke, Mtemvu akimtuza
msanii Omari Tego baada ya kukunwa na msanii huo kwa kuimba wimbo
maalum wa CCM wakati wa mkutano huo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni