Mwanariadha wa Jamaica Usain Bolt
amenaswa na kamera Jijini London akifanya matanuzi na wadada wawili
kwenye klabu ya usiku ya Mahiki hadi saa tisa usiku.
Mkali huyo aliyesaidia Jamaica
kupata medali za dhahabu katika mbio za kupokezani vijiti huko
Glasgow, baada ya kutoka hapo aliendelea kula bata hadi saa 11
alfajiri katika klabu ya Raffles huko Chelsea.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni