Watu zaidi ya 40 wamekufa katika
ajali ya ndege ndogo ya abiria iliyoanguaka karibu na uwanja wa ndege
Jijini Tehran nchini Iran.
Kitu cha televisheni cha taifa cha
Iran kimesema ndege hiyo imeanguka leo asubuhi katika uwanja wa ndege
wa Mehrabad ulipo magharibi mwa Jiji hil.
Ndege hiyo ilikuwa inaelekea katika
mji wa mashariki wa Tabas wakati ilipopata ajali hiyo.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni