Wapelelezi kutoka nchi ya Poland
wameiomba nchi ya Kenya kuwasaidia kukamata watuhumiwa wa uuzaji wa
dawa za kuelevya wanne raia wa nchi yao ambao wamejificha nchini
Kenya.
Serikali ya Jamhuri wa Poland
imeiandikia Kenya kupitia Wizara ya Mambo ya Nje kuomba watuhumiwa
hao wakamatwe na kurejeshwa Poland kwa tuhuma za kusafirisha dawa za
kulevya kupitia Kenya kwenda Poland na kuingiza sokoni Ulaya.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni