.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 6 Agosti 2014

RAIS KENYATTA AIKOSOA JUMUIYA YA KIMATAIFA KWA KUTOSAIDIA VITA VYA UGAIDI KENYA

Rais Uhuru Kenyatta amesema jumuiya ya kimataifa haifanyi jitihada za kutosha kuisaidia Kenya kupambana na ugaidi.

Akiongea kwenye mahojiano na CNN Jijini Washington DC, Rais Kenyatta amesema ugaidi si suala la nchi moja bali ni tatizo la dunia.

Ametoa mfano wa wakati Marekani iliposhambuliwa na magaidi, dunia nzima iliungana nao katika kukabiliana na ugaidi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni