Kikosi kazi cha Skylight Band kikiwajibika jukwaani Ijumaa iliyopita kwenye show zake za kila siku ya Ijumaa ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.....Kutoka kushoto ni Joniko Flower, Aneth Kushaba AK47, Sony Masamba, Mary Lucos na Sam Mapenzi.
Mary Lucos na Hashim Donode wakisebeneka huku Joniko Flower akipiga vocal kwenye show ya aina yake iliyowabamba mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
Kutunza inaruhusiwa hukatazwi ni motisha kwa wanamuziki kama inavyoonekana pichani mdau baada ya kuguswa na burudani ya Skylight Band.
Muddy Bawaziri naye alichomoa bulungutu lake la mijihela na kwenda kuwatunza waimbaji wa Skylight Band.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni