Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo Thinus Botha mwenye miaka 32 ambaye aliwapiga picha twiga hao wakati wakisafishwa, ameandika katika mtandao wake wa Twitter jinsi twiga hyo alivyojigonga katika daraja la Garsfontein barabara ya N1, Pretoria. Tayari taasisi inayolinda haki za wanyama nchini Afrika Kusini imeanza kulichunguza tukio hilo.
Ijumaa, 1 Agosti 2014
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni