Mgonjwa akichungulia nje kuangalia madaktari waliogoma na kuwatelekeza
Makali ya kuchelewa kwa Baraza la Seneti na Bunge la Taifa katika kupitisha muswada muhimu kwa kaunti yataendelea kuwapata watumishi wa umma kwa kukosa mshahara wao wa mwezi huu.
Huu utakuwa ni mwezi wa pili kwa
watumishi wa umma kubeba mzigo wa urasimu wa kutengwa fungu la fedha
kwa ajili ya kuendesha serikali za kaunti.
Hali hiyo ya kuchelewesha mishahara
imepelekea kuibuka mgomo wa madaktari Mombasa ambao umepelekea
kusababisha vifo vya wagonjwa.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni