Mwanaume mmoja Mfaransa amedai
alitimuliwa kwenye ndege ya Shirika la Ndege la Marekani, kutokana na
kunuka vibaya kutokana na kutumia manukato ya Dior na kuambiwa
akaoge kwanza na muhudumu wa ndege.
Mfaransa huyo mzaliwa wa Algeria
aitwae Mehdi akiwa anapanda ndege alifuatwa na mhudumu wa ndege na
kumuambia ananuka wahudumu na abiria wamelalamika hivyo rubani wa
ndege kwa mamlaka aliyonayo kamkataza kupanda ndege.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni