Maelfu ya wakristo wameripotiwa
kukimbia mji uliotwaliwa na wapiganaji wa Kiislam wa kundi la IS
nchini Irak.
Kundi hilo la Dola ya Kiislam
limeutwaa mji wa Qaraqosh ulipo mkoa wa Nineveh usiku wa kuamkia leo
na kuvitimua vikosi vya Kikurdi.
Shirika moja la Kimataifa la
Kikristo limesema karibu robo ya wakristo wa Irak wanaishi mji wa
Qaraqosh pamoja na miji mingine inayouzunguka.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni