.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 7 Agosti 2014

URUSI YAMUONGEZEA JASUSI WA MAREKANI MSALITI MUDA WA KUISHI NCHINI URUSI

Jasusi wa Marekani aliyeomba hifadhi baada ya kuvujisha siri za taifa lake amepewa ruhusa ya kuendelea kuishi Urusi kwa miaka mitatu zaidi.

Jasusi huyo Edward Snowden muda wake wa kuishi nchini Urusi ulikuwa umeisha tangu Julai 31, mwaka huu.

Snowden alikimbia Marekani tangu mwaka 2013 baada ya kuvujisha siri za Usalama wa Taifa wa Marekani zinazohusu udukuzi wa maongezi ya simu ya viongozi wa mataifa mengine.

Marekani imemfungulia Snowden mashtaka ya kuiba mali za serikali pamoja na kutoa siri nyeti za taifa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni