.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 6 Agosti 2014

WATAALAM WABAINI ASPIRIN YAWEZA KUPUNGUZA VIFO VYA SARATANI YA TUMBO

Kumeza kidonge cha aspirin kila siku kunapunguza nafasi ya kufa kutokana na saratani ya utumbo mdogo ama utumbo mkubwa.

Wanasayansi wamebashiri kuwa iwapo kila mtu mwenye umri wa miaka 50 na kuendelea huko Uingereza angemeza dawa ya aspirin kwa miaka 10, vifo 122,000 vingeweza kuzuilika katika miongo miwili.

Hata hivyo wanasayansi hao wameonya kuwa umezaji wa aspirin, unaweza sababisha utumbo kutoka damu, hivyo ushauri wa madaktari unahitajika kabla ya kuanza kuitumia dawa hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni