.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 6 Agosti 2014

NYUMBA YA BIBI YAKE RAIS OBAMA KUFANYWA KUWA KIVUTIO CHA UTALII

Nyumba ya Mama Sara Obama, ambaye ni bibi wa Rais Barack Obama inatarajiwa kufanya kivutio cha utali katika kaunti ya Siaya nchini Kenya.

Gavana wa Siaya, Cornel Rasanga nyumba hiyo imekuwa ikipokea idadi kubwa ya wageni wa ndani na kimataifa kutokana na watu wengi kutaka kujua asili ya wazazi wa Obama.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni