.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 2 Agosti 2014

WATU 65 WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUTOKEA MLIPUKO KIWANDANI HUKO CHINA

 Watu 65 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 120 wamejeruhiwa kufuatia mlipuko mkubwa uliotokea katika kiwanda kimoja cha vifaa vya magari leo asubuhi katika mji wa Kunshan katika jimbo la Jiangsu. 

Kiwanda hicho kinaelezewa kuwa kimeajiri wafanyakazi 450, na wakati mlipuko huo unatokea inasadikiwa kuwa zaidi ya wafanyakazi 200 walikuwa kazini.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni