.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 5 Agosti 2014

WAZAZI WA MAPACHA WATATU WAWAPAKA RANGI YA KUCHA WATOTO WAO ILI KUWATOFAUTISHA

Wazazi wa mapacha watatu wanaofanana mno huko Kusini mwa Wales, wamelazimika kununua rangi za kucha na kuwapaka watoto wao ili kuwatofautisha kutokana na kufanana mno kiasi cha kuwachanganya.

Mama mzazi wa watoto hao Karen na mumewe Ian Gilbert, wamesema kufanya hivyo kumekuwa kukiwasaidia kujua ni mtoto gani amesha badilishwa nepi, kulishwa na hata kuogeshwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni