Mtu mmoja amepigwa risasi na kufa na
mwingine kujeruhiwa katika jengo la Mahakama Jijini Copenhagen nchini
Denmark.
Mtu mmoja ameripotiwa kufyatua
risasi ndani ya mahakama hiyo iliyopo kati kati ya Jiji hilo, ambapo
kunataarifa za kufyatuliwa kati ya risasi tano ama sita.
Polisi wamesema mtu mmoja
anashikiliwa pamoja na kukutwa bunduki aina ya shotgun katika eneo la
tukio.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni